MTANGAZAJI Bongo, Penniel Mungilwa ‘Penny’ amefunguka kuwa kamwe hawezi kuwagombanisha marafiki wa damu, Wema Sepetu ‘Madam’ na Aunt Ezekiel, baada ya yeye kuingilia urafiki huo.
Akizungumza na mwanahabari wetu, Penny alisema kuwa anaamini kabisa kuna baadhi ya watu hawapendi kuwa na urafiki zaidi ya watu watatu kitu ambacho siyo sahihi, yeye anaamini baada ya kupatana…
No comments:
Post a Comment