Mbele yake kasimama mwanaume wa Kipemba, yupo hapo kwa kuwa alikuwa akihitaji kuwa mpenzi wake na mwisho wa siku amuoe. Kwa Khadija, kumkubalia mwanaume kwa wakati huo ilikuwa ngumu kwani bado alikuwa na ndoto za kufika mbali kimuziki.
ENDELEA...
“Kwani nikikuoa hautaweza kuyafanya?”
“Hapana. Ninahitaji kuwa huru zaidi.”
“Nakuahidi…
No comments:
Post a Comment