SIMULIZI TAMU YA KHADIJA KOPA-9


ILIPOISHIA..

Mbele yake kasimama mwanaume wa Kipemba, yupo hapo kwa kuwa alikuwa akihitaji kuwa mpenzi wake na mwisho wa siku amuoe. Kwa Khadija, kumkubalia mwanaume kwa wakati huo ilikuwa ngumu kwani bado alikuwa na ndoto za kufika mbali kimuziki.

ENDELEA... Malkia wa mziki wa taarabu, Khadija Omary kopa
“Si kwamba ninaogopa, bado kuna mengi ninatakiwa kuyafanya,” nilimwambia.

“Kwani nikikuoa hautaweza kuyafanya?”

“Hapana. Ninahitaji kuwa huru zaidi.”

“Nakuahidi…

No comments:

Post a Comment