Gazeti la Jambo leo latinga mtandaoni

Capture
Kwa habari za kila siku Soma gazeti la Jambo Leo kupitia website www.jamboleo.co.tz Utajipatia habari mbalimbali ambazo zimetokea nyumbani Tanzania na matukio mengine duniani,gazeti la Jambo Leo linatolewa na kampuni ya Jambo Concepts Tanzania Limited, inayochapisha Jarida la Jambo Brand Tanzania, gazeti la michezo la kila wiki, Staa Spoti na gazeti la matangazo la Dar Metro linalotoka kila baada ya wiki mbili.

Dewji Blog
Read more



Habari Zinazoendana

7 months ago

GPL

MHARIRI MTENDAJI GAZETI LA JAMBO LEO AMEREMETA‏

Anicetus M. Busagi akimtambulisha mkewe Levina A. Mtei kwa wageni waalikwa katika hafla ya harusi yao iliyofanyika jana jijini Dar es Salaam. . Mhariri Mtendaji Mtendaji wa Gazeti la Jambo Leo Apata, Anicetus M. Busagi akiwa na mkewe Levina A. Mtei katika hafla kabambe ya harusi yao iliyofanyika jana jijini Dar es Salaam katika Ukumbi wa Lunch Time. Mhariri Mtendaji Mtendaji wa Gazeti la Jambo Leo Apata, Anicetus M. Busagi...

9 months ago

Michuzi

WAKITETA JAMBO

Naibu Katibu mteule wa Bunge Maalum la Katiba,Dkt. Thomas Kashilila (kushoto) akiteta jambo na Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalum la Katiba aliye maliza muda wake,Mhe. Pandu Kificho. Picha na Deusdedit Moshi.

6 months ago

Uhuru Newspaper

Mkurugenzi Dar azuliwa jambo

Na Rashid Zahor, Dodoma
MBUNGE wa Temeke (CCM), Abbas Mtemvu amemtaka Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Hawa Ghasia kumuhamisha mara moja Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Wilson Kabwe.
Mtemvu amesema katika kipindi kifupi alichokaa katika Jiji la Dar es Salaam, Mkurugenzi huyo amesababisha matatizo makubwa kwa wananchi, ikiwa ni pamoja na kuendesha mambo kibabe.
“Nakuomba mama yangu Hawa Ghasia, tunakuheshimu sana, mkurugenzi wa jiji (la Dar es...

11 months ago

Mwananchi

Tiketi za elektroniki zazua jambo

>Bodi ya Ligi (PTL) inayosimamia Ligi Kuu Bara, imeamua kuingilia kati suala la kutumika kwa tiketi za elektroniki baada ya kuomba kupata taarifa ya fedha zinazoingia kutokana na mauzo ya tiketi.

10 months ago

BBCSwahili

Ubakaji 'ni jambo la kawaida' Somalia

Shirika la Human Rights Watch limeitaka serikali ya Somalia kufanyia mageuzi sheria za kukabiliana na visa vingi vya ubakaji wa wanawake ambavyo vimekithiri nchini humo.

9 months ago

Mwananchi

Msekwa: Sitta ana lake jambo

>Siku moja baada ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samwel Sitta kukiri kuchezewa kwa saini ya aliyekuwa Katibu wa Bunge la Tanganyika, Pius Msekwa na Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, Msekwa amesema, ‘mzungumzaji huyo ana lake jambo’.

9 months ago

GPL

WOLPER ATESWA MTANDAONI

STORI: Erick Evarist STAA wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper amefunguka kuwa anaumizwa na mashabiki wanaomshushia lawama kwa kila anachofanya. Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper. Akizungumza na paparazi wetu, Wolper alisema wakati mwingine na yeye ni binadamu lakini kila anachokifanya, wafuasi wa mitandao ya kijamii wamekuwa wakimporomoshea lawama. “Nashangaa kabisa kuna watu hata ufanye jema wao ni lawama,...

8 months ago

Mwananchi

Mwanazuoni: Wanaomwandama Warioba wana lao jambo

Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Emmanuel Kilatu, ametaka wanaomshambulia kwa maneno Waziri Mkuu Mstaafu na Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Warioba kuacha tabia hiyo mara moja.

8 months ago

Habarileo

‘Kuwepo Muungano miaka 50 ni jambo kubwa’

MAFANIKIO makubwa ya Muungano nchini ni kudumu kwa muundo huo kwa miaka 50, imeelezwa. Hayo yamesemwa na Rais Jakaya Kikwete, Ikulu Dar es Salaam juzi, katika mahojiano na TBC 1, yaliyohudhuriwa pia na waandishi wa habari wa vyombo vingine.




No comments:

Post a Comment