KAKA ASIMAMIA FUMANIZI LA DADA'KE!


Stori: Chande Abdallah na Deogratius Mongela

Aibu ya kufunga mwaka! Kaka mtu aliyejitambulisha kwa jina moja la Nicholaus kwa kushirikiana na Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers, amesimamia fumanizi la dada’ke ambaye ni denti wa sekondari moja jijini Dar (majina yanahifadhiwa kwa sababu maalum) ambapo alimfumania chumbani na njemba mmoja sharobaro aliyetajwa kwa jina la Abuu Ally, mkazi wa Mbagala-Charambe, Dar.
Njemba sharobaro, Abuu Ally akiwa na denti baada ya…

No comments:

Post a Comment