MAMA JOKATE AAMUA KUMFUNGUKIA MWANAE


Stori: Hamida Hassan na Ng’osha Gabriel

Vunja ukimya! Kwa mara ya kwanza, mama mzazi wa mwanamitindo na mkurugenzi wa brand ya urembo ya Kidoti, Jokate Mwegelo, Benadertha Ndunguru amemfungukia mwanaye baada ya kuingia ubia na Kampuni ya Rainbow Shell Craft ya nchini China inayomuingizia mabilioni ya fedha.
Mkurugenzi wa brand ya urembo ya…

No comments:

Post a Comment