MIMBA YA AUNT EZEKIELIMEZUA BALAA!


Stori: Waandishi Wetu

SIKU chache baada ya kuripotiwa kuwa mjamzito, mimba ya mwigizaji Aunt Ezekiel imezua balaa baada ya mwanamke anayedaiwa kuibiwa bwana na mwigizaji huyo anayefahamika kwa jina la Mwengi kuibuka na kufunguka mazito.
Aunt Ezekiel akiwa na Mose Iyobo ‘Moze’.
Mwengi ambaye yupo ndani ya bifu zito na mwigizaji huyo, alizaa na dansa wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’, Mose Iyobo ‘Moze’ ambaye sasa inasemekana amekolezwa vilivyo na penzi la Aunt.
Kupitia ukurasa wake wa…

No comments:

Post a Comment