SHAMSA AANGUA KILIO UWANJANI


Na Gladness Mallya

MSANII wa filamu Bongo, Shamsa Ford hivi karibuni alijikuta akiangua kilio uwanjani baada ya timu yake anayoishabikia ya Yanga kufungwa mabao mawili bila.
Msanii wa filamu Bongo, Shamsa Ford.
Tukio hilo lilitokea Jumamosi iliyopita katika Uwanja wa Taifa ambapo kulikuwa na mechi ya Nani Mtani Jembe 2 iliyozichezesha timu za Simba na Yanga ambapo Shamsa alijikuta akilia kama mtoto baada ya timu yake kufungwa mabao 2-0.
“Unajua mimi ni Yanga damdam…

No comments:

Post a Comment