SNURA ATUMIKA KUTAPELI


Stori: Gladness Mallya
MSANII wa filamu na muziki Bongo, Snura Mushi amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kutumika kwa utapeli kupitia namba yake ya simu.
Msanii wa filamu na muziki Bongo, Snura Mushi.
Akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu, Snura alisema aliacha kutumia namba ya awali kwa muda wa miezi miwili baada ya kupotea ambapo hivi karibuni ndipo alipoanza kupata malalamiko kutoka kwa watu mbalimbali kwamba anawaomba fedha kwa madai kwamba mama yake anaumwa.
“Kuna mtu…

No comments:

Post a Comment