Ukubwa wa stori hii ambayo jana aliizungumzia Martin Kadinda kama Meneja wa
Wema Sepetu imefanya millardayo.com kutaka kuujua undani zaidi kutoka kwa Wema
mwenyewe.
Kwenye exclusive Interview,Wema amesema>>’Taarifa hii imenishtua sana
maana asubuhi ya jana nimekuta kwenye gazeti wameandika nikashangaa yaani hapa
nimekaa kwa sababu muda mwingi siendeshi mimi akaunti yangu ya
twitter,anaiendesha mtu wangu wa blog Bestizo maana nilikua nataka kutoa
tamko’
No comments:
Post a Comment