KABULA AJUTA KUMPENDA BUSHOKE


Stori: Gladness Mallya/Ijumaa Wikienda

BAADA ya hivi karibuni kumwagana na aliyekuwa mpenzi wake wa muda mrefu, Maximilian Bushoke, msanii wa filamu Bongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ amefunguka kwamba hahitaji tena mwanaume kwa sasa.
Msanii wa filamu Bongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ akipozi.
Akipiga stori na paparazi wetu, Jini Kabula alisema kutokana na kwamba alikaa kwenye uhusiano wa kimapenzi muda mrefu na Bushoke na hakuona faida…

No comments:

Post a Comment