MWALIMU: NAONGOZA KUPIGWA NA MUME


Makongoro Oging’ na Issa Mnally
MWALIMU Gaudencia Gitano (40) anayefundisha Shule ya Msingi Kivelu jijini Dar es Salaam, amedai huenda yeye ndiye anayeongoza kwa kupigwa kuliko wanawake wengine wote jijini, baada ya kudai anazo RB tano za vipigo tofauti kutoka kwa mumewe kwa nyakati mbalimbali tangu aolewe Oktoba 25, 2002, katika ndoa ya kiserikali iliyofungwa Ilala Boma.
Mwalimu Gaudencia Gitano (40) anayedai kupigwa mara nyingi na mume wake.
Akizungumza akiwa kitandani katika Hospitali…

No comments:

Post a Comment