POLISI WATUMIA MABOMU YA MACHOZI KUTAWANYA MAANDAMANO YA WANAFUNZI


                 Wanafunzi wakikimbia hovyo baada ya mabomu ya machozi kupigwa.


                              Wanafunzi wakisukuma uzio wa shule la uwanja.

                            Mmoja wa polisi aliyejeruhiwa katika vurugu za leo.

          Wanafunzi na baadhi ya wanaharakati wakiwanyooshea fimbo wanausalama waliokuja kuzuia vurugu hizo.


JESHI la polisi nchini Kenya limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanafunzi wa Shule ya Msingi Lang'ata iliyopo jijini Nairobi walioandamana kupinga kitendo cha kunyanganywa uwanja wao wa michezo uliouzwa kwa mwekezaji binafsi.

No comments:

Post a Comment