WEMA ACHEKELEA KANDAMBILI ZA JOKATE


Stori: Imelda Mtema/Ijumaa Wikienda

MBUNIFU wa mavazi na mtangazaji Bongo, Jokate Mwegelo amesababisha shosti yake, Wema Sepetu ‘Madam’ afurahi baada ya kumpelekea zawadi ya kandambili zake za Kidoti pamoja na vipodozi mbalimbali.

Jokate alisema Wema ni miongoni mwa watu ambao anawakubali kutokana na mchango mkubwa katika tasnia ya filamu Bongo, hivyo ameamua kumpelekea zawadi ya bidhaa zake za Kidoti kuonesha heshima yake.
Staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu ‘Madam’ akipozi.
“Zawadi…

No comments:

Post a Comment