FAMILIA YA MBASHA KIKAO KIZITO DAR


Stori: Waandishi Wetu/Ijumaa Wikienda
SIKU chache baada ya kuibuka utata mkubwa juu ya kichanga cha kike cha mwimba Injili maarufu Bongo, Flora Mbasha huku mitandao ya kijamii ikieleza kwamba baba wa mtoto huyo si aliyekuwa mume wa mwanamuziki huyo, Emmanuel Mbasha ‘Ima’, familia ya mwanaume huyo inadaiwa kufanya kikao kizito jijini Dar ili kupata ufumbuzi, Ijumaa Wikienda linakujuza.
Mwimba Injili maarufu Bongo, Flora Mbasha akiwa amejifungua kitoto kichanga…

No comments:

Post a Comment