NDOA YA JACQUELINE PENTZEL NA GADNA DIBIBI IMEVUNJIKA!


Na Mwandishi Wetu/Ijumaa

NDOA iliyodumu kwa miaka miwili na nusu kati ya mwigizaji wa filamu Jacqueline Pentzel na Gadna Dibibi imevunjika, Ijumaa lina mkanda kamili.
Mwigizaji wa filamu za Kibongo, Jacqueline Pentzel.
Kwa mujibu wa chanzo makini, wawili hao waliachana baada ya kutuhumiana kutoka nje ya ndoa yao, jambo ambalo baada ya kuvumiliana kwa muda mrefu, hatimaye wameamua kubwaga manyanga.
Inadaiwa kwamba kwa zaidi ya miezi miwili iliyopita, mume alikuwa ameshahama nyumbani kwao Mbezi kwa…

No comments:

Post a Comment