Aina nyingi ya uvimbe huu huwa hauumi na hauwi saratani na huweza kutokea na kupotea ingawa unaweza kuwa mkubwa zaidi. Ovarian Cyst huwatokea wanawake wa umri wote kuanzia watoto wachanga hadi mwanamke anapofikisha umri wa kuzaa. Uvimbe pia hutokea hata kwa wanawake waliokoma hedhi. Baadhi ya aina hizi za uvimbe huleta matatizo mfano kuvuja damu na maumivu makali au kugeuka kuwa kansa.
Endapo uvimbe utakuwa mkubwa…
No comments:
Post a Comment