Na Musa Mateja
Kwa sasa tunapozungumzia mastaa wa muziki wanaofanya vizuri hapa Bongo,
jina la Nasibu Abdul ‘Diamond’ lazima litachukua nafasi ya kwanza kisha wengine
watafuata. Ni kijana anayejituma sana na jitihada zake hizo zimemfanya awe
maarufu barani Afrika.
No comments:
Post a Comment