MCHUNGAJI ANASWA NA WANAWAKE WATATU GESTI WAKILA

Pasta John Paul Simon Rubanguka akijaribu kujitetea.

OPARESHENI Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers inaendelea! Wiki hii ilifanya kazi nyingine nzito, kumnasa Pastor John Paul Simon Rubanguka wa kanisa la kiroho la Maximum Deliverance lililopo Masaki, Dar ambaye alinaswa akichezewa utupu na wanawake watatu ambao ni kama waumini wake kwa sababu wote ni Wakristo.
Pasta John Paul Simon Rubanguka wa kanisa la kiroho la Maximum Deliverance lililopo Masaki, Dar baada ya kunaswa na wanawake watatu wakimchezea utupu.
OFM YATONYWA UCHAFU WA PASTOR

No comments:

Post a Comment