WEMA AZUA TIMBWILI KISA ALI KIBA


Na Musa Mateja/Risasi Mchanganyiko

BOSS Lady wa Kampuni ya Endless Fame, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amesababisha timbwili la aina yake hivi karibuni, akidaiwa kuwa kwenye harakati za kutaka kukaa karibu na staa wa Bongo Fleva anayesumbua na wimbo wa Chekecha Cheketua, Ali Saleh ‘Kiba’, Risasi Mchanganyiko limesheheni mchapo kamili.
Boss Lady wa Kampuni ya Endless Fame, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’.
NI ARUSHA

Tukio hilo la aina yake lilitokea hivi karibuni kwenye Ukumbi wa Triple A, jijini Arusha ambapo mrembo huyo wa Tanzania mwaka 2006 alienda…

No comments:

Post a Comment