MWANAUME WA UGANDA AFUNGUKA: ZARI AMETOA MIMBA ZANGU 2


NA SIFAEL PAUL
Hasira ya kibuti? Ubuyu kutoka nyumba ya jirani, Kampala nchini Uganda unaeleza kuwa mwanaume Farouk Sempala aliyewahi kuwa mpenzi wa mwandani wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ ameibuka na madai mazito kuwa mwanamama huyo alichoropoa mimba zake zaidi ya mbili.
Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, akiwa na mpenzi wake Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady.
TUJIUNGE UGANDA

Katika mahojiano maalum na Gazeti la Red Pepper la nchini humo hivi…

No comments:

Post a Comment