NIVA AUANIKA ‘UBAVU’WAKE

Imelda mtema


STAA wa Bongo Movies, Zubery Mohamed ‘Niva’ amemuanika mpenzi wake wa sasa aliyemtambulisha kwa jina la Maisala na kuweka bayana kwamba hahitaji tena mwanamke mwingine.
Staa wa Bongo Movies, Zubery Mohamed ‘Niva akiwa na mpenzi wake.
Akizungumza na mwanahabari wetu, Niva alisema alifanya tathimini ya kina na kuamua kutulia na mwanamke huyo kukwepa habari zile za kurukaruka leo huyu kesho mwingine.
“Unajua mambo ya kurukaruka yana mwisho wake sasa nimeamua kutulia na mpenzi wangu huyu na Mungu akijaalia…

No comments:

Post a Comment