MKONGWE kwenye soko la ugizaji Bongo, Salome Urassa ‘Thea’ amefunguka kuwa miaka ya hivi karibuni wasanii hawaishi pamoja kama zamani kwani shetani amewaingilia katikati na kuwatenganisha.
Akizungumza na mwanahabari wetu, Thea alisema kipindi cha nyuma wasanii walikuwa waipenda sana kuwa na kundi moja wakakaa pamoja na kuelewana lakini kukatokea kitu ambacho mpaka leo hakieleweki wakasambaratika.“Naamini kuna vitu tulikosea, tunateseka kweli. Tunatakiwa kabisa kumrudia Muumba wetu kwa…
No comments:
Post a Comment