TAARIFA KWA UMMA
NAULI ZA MABASI YA MASAFA MAREFU NA MIJINI
1.0 UTANGULIZI
Kuelekea mwishoni mwa mwaka 2014 bei ya mafuta
yatumikayo katika vyombo vya usafiri wa abiria nchini ilianza kushuka. Kufuatia
kushuka huko kwa bei, Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini
(SUMATRA) ilikuwa ikipokea wito wa kupitia upya viwango vya juu vya nauli
ambavyo viliwekwa na Mamlaka mwezi Aprili, 2013. Hivyo SUMATRA ikaamua kuandaa
mikutano ya wadau kwa lengo la kukusanya maoni kuhusu haja ya kurekebisha
viwango vya nauli zilizopo.
Aidha, tarehe 09 Machi, 2015, Baraza la Ushauri
la Watumiaji wa Huduma Zinazodhibitiwa na SUMATRA (SUMATRA Consumer Consultative
Council (SCCC)) liliwasilisha kwa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na
Majini (SUMATRA) maombi ya kushusha nauli za mabasi ya masafa marefu na mijini.
Katika maombi hayo Baraza liliainisha sababu za kuomba punguzo hilo kuwa ni
kushuka kwa bei za mafuta na kodi ya forodha kwa mabasi mapya kutoka asilimia 25
hadi 10; punguzo hilo lilianza Julai, 2014.
1.1 MAOMBI
TAARIFA KWA UMMA
NAULI ZA MABASI YA MASAFA MAREFU NA MIJINI
1.0 UTANGULIZI
Kuelekea mwishoni mwa mwaka 2014 bei ya mafuta
yatumikayo katika vyombo vya usafiri wa abiria nchini ilianza kushuka. Kufuatia
kushuka huko kwa bei, Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini
(SUMATRA) ilikuwa ikipokea wito wa kupitia upya viwango vya juu vya nauli
ambavyo viliwekwa na Mamlaka mwezi Aprili, 2013. Hivyo SUMATRA ikaamua kuandaa
mikutano ya wadau kwa lengo la kukusanya maoni kuhusu haja ya kurekebisha
viwango vya nauli zilizopo.
Aidha, tarehe 09 Machi, 2015, Baraza la Ushauri
la Watumiaji wa Huduma Zinazodhibitiwa na SUMATRA (SUMATRA Consumer Consultative
Council (SCCC)) liliwasilisha kwa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na
Majini (SUMATRA) maombi ya kushusha nauli za mabasi ya masafa marefu na mijini.
Katika maombi hayo Baraza liliainisha sababu za kuomba punguzo hilo kuwa ni
kushuka kwa bei za mafuta na kodi ya forodha kwa mabasi mapya kutoka asilimia 25
hadi 10; punguzo hilo lilianza Julai, 2014.
1.1 MAOMBI

No comments:
Post a Comment