Mama huyu mkazi wa Mabibo jijini Dar es
Salaam, akichota maji yanayovuja kutoka kwenye bomba la la maji ambayo hata
hivyo yamechanganyika na maji taka yanayotiririka kama yanavyoonekana kutoka
kupande wa juu kushoto wa picha hii iliyopigwa Jumanne Aprili 15, 2015.
Uchunguzi wa K-VIS blog umebaini kuwa maeneo ya Mabibo na Kigogo, yanakabiliwa
na uhaba mkubwa wa maji ambapo sasa wakazi wake hususan akina mama na watoto
wamekuwa wakiyatafuta hata yanapoonekana yakiwa kwenye mazingira ya uchafu,
ambapo wengine wameonekana wakichota kwenye mitaro ya kupitishia maji
machafu
Hapa ni barabarani eneo la Kigogo Randa
Bar
Barabarani Randa Bar Kigogo
Mtaroni eneo la Mabibo
K-VIS Blog




No comments:
Post a Comment