DHAMBI? Neema Pangani, mkazi wa jijini Dar alijikuta akiangua kilio kanisani wakati mumewe Daniel Mhina alipokuwa anamuoa mke wa pili, Irene Lema, Risasi Mchanganyiko lina stori kamili.
Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita katika Kanisa la Evangelistic Assemblies of God (EAGT) Bonde la Baraka lililopo maeneo ya Alimaua Kijitonyama jijini Dar, ambapo Mchungaji Kiongozi Asheri Mwaisunga ndiye aliyebariki ndoa hiyo.
Wakati ndoa…
No comments:
Post a Comment