Hatari sana! Mkali wa Ngoma ya Chekecha Cheketua, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ amenusurika kifo baada ya kuvamiwa nyumbani kwake na majambazi ambao walimteka mlinzi na ndugu yake mmoja kisha kuwashushia kibano kikali huku wakiwaamuru wawapeleke kwenye chumba anacholala msanii huyo, Ijumaa Wikienda lina A-Z.
Akizungumza kwa masikitiko makubwa na gazeti hili, Mei 2, mwaka huu, Abdul Kiba ambaye ni mdogo…

Akizungumza kwa masikitiko makubwa na gazeti hili, Mei 2, mwaka huu, Abdul Kiba ambaye ni mdogo…
No comments:
Post a Comment