AUNT‭, ‬WEMA HONGERENI KWA KUPATANA‭! ‬HAMKUWA NA HOJA


KWENU mashosti wa miaka‭ ‬‮!‬٪chungu mbovu‭,‬‮!&‬waigizaji Aunt Ezekiel na Wema Sepetu‭ ‬‮!‬٪Madam‭.‬‮!&‬Vipi mko poa‭? ‬Mambo yanakwendaje lakini‭?‬
Salamu sana ama baada ya salamu‭, ‬mimi ni mzima wa afya‭. ‬Namshukuru Mungu‭. ‬Naendelea na michakato yangu ya kila siku si mnajua tena mjini mipango‭, ‬tutalala uzeeni‭!‬

Madhumuni ya barua hii ni kutaka kuwapongeza kwani sikufurahishwa na ugomvi wenu uliokuwa umefika pabaya‭.‬

Sikufurahishwa kwa sababu sikuona hoja ya msingi ambayo iliwafanya nyinyi mfikie hatua ya kutoleana maneno mazito utadhani hamkuwahi kuwa marafiki wakubwa‭.‬
Hivi…

No comments:

Post a Comment