ESTER AKUTWA NA SHATI LA DUDE


Imelda Mtema

Msanii anayekuja juu kwa kasi kwenye gemu la filamu Bongo, Ester Kihama amenaswa akiwa ametinga shati linalodaiwa kuwa la staa wa kiume wa filamu, Kulwa Kikumba ‘Dude’.
Msanii anayekuja juu kwa kasi kwenye gemu la filamu Bongo, Ester Kihama.
Mpashaji wetu alisema alimnasa mwanadada huyo akiwa anakatiza mitaani na shati hilo ambalo mara nyingi analivaa Dude akamfotoa picha za kutosha kwani kitendo hicho kilizua maswali kwa watu kwamba inakuwaje msanii huyo avae shati la mume wa mtu mwenye familia yake?
Alipoulizwa Ester kuhusiana na…

No comments:

Post a Comment