Diamond Amuita Jokate Makombo...."Mwacheni Ali Kiba Ajilie Makombo"
Mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amemuita mpenzi wake wa zamani Jokate Mwegelo kuwa ni makombo na kudai kama zilipendwa huyo anatembea na hasimu wake Ali Kiba, hakuna jipya kwani anakula makombo.
No comments:
Post a Comment