MASTAA WANASEMAJE KUHUSU SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO ?


Na Hamida Hassan

Hivi karibuni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete aliipitisha sheria ya makosa ya mitandao kwa kutia saini.Ni sheria ambayo wengi hawajajua namna itakavyofanya kazi na huenda wengi wakaingia kwenye mtego.
Jaqueline Wolper.
Miongoni mwa watu watakaojikuta kwenye wakati mgumu kupitia sheria hii ni mastaa, tena hasa wa kike. Je, wao wanaizungumziaje sheria hiyo? Hebu wasikie hawa baadhi ya wasanii wa kike…



Jaqueline Wolper

Hii sheria sijaielewa, ila kwa kusikiasikia tu…

No comments:

Post a Comment