Tudei namaindi kukusanua na ishu moko hivi ambayo mazee naona kama inazidi kuwa majanga kwa deizi zijazo hapo fowadi kozi kuna maduu f’lani hivi amazing bati ndo tuseme tu inshoti kwamba wamejitoa kitu cha fahamu aisee.
Kuna mabebiz wakare ambao ukiwapiga chambo wewe mwenyewe masti usizi kozi ni kitu na boksi la ukweli kabisa.
Taipu ya mashori kama hao ni wale ambao wanajiona na wanajua wao ni sumu yaani kisu ileile.
Wenyewe…
No comments:
Post a Comment