
Khamis Mpili, alisema tangu mradi wa ujenzi huo uanze kuna wafanyakazi hawajapatiwa mikataba ya kazi, hali inayosababisha kukosa haki zao za msingi zikiwamo malipo ya likizo, nyongeza ya mishahara, na kuingiziwa fedha za Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (Nssf).
“Kuna wafanyakazi wana mwaka mmoja na nusu hadi miaka mitatu hawana mikataba ya kazi, tunataka uongozi utupatie stahiki zetu tuendelee na kazi,” alisema Mpili.
No comments:
Post a Comment