Mitambo ya Kuzalisha Umeme wa gesi Yawashwa.....Tatizo la Umeme Kukatika Kuisha LEO.

Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema kazi ya kuunganisha mabomba ya gesi kutoka Kinyelezi I kwenda katika mitambo ya Ubungo I na II, jijini Dar es Salaam imekamilika. Aidha, kazi ya kuwasha mashine 10 za mtambo wa Ubungo I imekamilika na  inategemewa tatizo la kukatika umeme litafikia tamati kuanzia leo. Akizungumza na mtandao huu jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Uhusiano wa...
Read More

No comments:

Post a Comment