UKIPENDA BOGA PENDA NA UWA LAKE

Diamond Akiwa na Watoto Wote wa Zari
Kupitia kwenye mitandao ya kijamii mwanadada Zarinah Hassan ‘Zari the boss Lady’ ambaye ni mzazi mwenza wa mkali wa bongo fleva, Diamond Platinum alitupia picha hizi akiwa yeye, Tiffah na Diamond pamoja na watoto watatu wa zari ambao diaomond alimkutanao kuandika maeno kuashiria hiyo ndiyo familia. Maneno mengine ya Zari yalisema ingwa wanasema mimi ni kibibi lakini Diamond ananipenda vivyoivyo.

Hii ni kwama mara ya kwanza kwa diamond kupiga picha na watoto hao wa zari tangu Diamond awe na mahusiano na mwanadada Zari.

Jionee picha hizo hapo chini

No comments:

Post a Comment