Rais Magufuli Amjulia Hali Muadhama Kadinali Polycarp Pengo Anayefanyiwa Uchunguzi Wa Afya Yake Muhimbili

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli wakimjulia hali Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Katoliki la Dar es salaam, Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo alielazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete iliyopo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili leo January 1, 2016.  Kardinali Pengo alilazwa hospitalini hapo jana jioni kwa ajili...
Read More

No comments:

Post a Comment