RAIS MAGUFULI AWASILIMIA WAKAZI WA JIJI LA ARUSHA PAMOJA NA KUFUNGA MAONESHO YA ONESHA UWEZO MEDANI CHUO CHA KIJESHO MONDULI MKOANI ARUSHA

POM1

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wananchi wa Kisongo nje kidogo ya jiji la Arusha waliojitokeza kumsalimia wakati akielekea Monduli kwa ajili ya kufunga zoezi la Onesha uwezo Medani.
POM2
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisoma bango mara baada ya kukabidhiwa na mwananchi mmoja katika eneo la Kona ya Nairobi Mkoani Arusha

POM3
Umati mkubwa uliojitokeza katika eneo la Mianzini Mkoani Arusha

No comments:

Post a Comment