Jeshi la Polisi Latua Bandarini Kuimarisha Ulinzi.....Waziri Kitwanga Atoa Onyo Kwa Polisi Wanaowabambika Kesi Wananchi

Jeshi la Polisi limeweka ulinzi katika Bandari ya Dar es Salaam, ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga kuwa ilindwe na vyombo vya dola badala ya kampuni binafsi za ulinzi. Akizungumza kwenye kikao cha kazi kilichowahusisha makamanda wa mikoa na vikosi vya polisi nchini, Mkuu wa jeshi hilo (IGP), Ernest Mangu, alisema tayari  wamepeleka askari bandarini...
Read More

No comments:

Post a Comment