Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) Yamuonya Uhuru Kenyatta

Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) imetishia kuichukulia Kenya hatua kali isiposalimisha kwa mahakama hiyo washukiwa watatu wanaokabiliwa na mashtaka ya kutatiza mashahidi. Msemaji wa ICC Fadi el Abdallah alisema mahakama hiyo itairipoti Kenya kwa Baraza la Mataifa Wanachama wa Mkataba wa Roma (ASP)  kama itaendelea  kushikilia msimamo wa kutowawasilisha Wakenya hao watatu...
Read More

No comments:

Post a Comment