Jeshi la Polisi Lapiga Marufuku Maandamano na Mikutano ya vyama vya Siasa

Ndugu zangu waandishi wa habari,Katika siku za hivi karibuni, Jeshi la Polisi nchini, limepokea taarifa kutoka kwa baadhi ya vyama vya siasa wakitaka kufanya mikutano na maandamano . hata hivyo, Jeshi la Polisi kupitia vyanzo vyake vya mbalimbali vya habari limebaini kuwa mikutano hiyo ina lengo la kuwahamasisha wananchi kutotii sheria za nchi (Civil disorder).Aidha vyama vingine vya siasa...
Read More

No comments:

Post a Comment