' Samahani kwa kutumia picha hii nia ya kuitumia ni kujaribu kuonesha changamoto ilivyo kwa vijana hawa wanaopoteza maisha kwa kujihusisha na kundi hilo la panya road'
Wananchi wakiangalia mwili wa kijana anayedaiwa kuwa ni wa kundi la kihalifu la panya road aliyeuawa baada ya kufanya uhalifu maeneo ya Mbagala Zakhem Dar es Salaam leo jioni. Katika tukio hilo vijana wengine wawili walipoteza fahamu kutokana na kipigo cha wananchi.
Wananchi wakiangalia mwili wa kijana huyo (haupo pichani)
No comments:
Post a Comment