Jokate Amuandikia Ujumbe Huu Ali Kiba


Kupendwa raha! hivyo ndivyo unaweza kusema baada ya staa kwenye tasnia ya mitindo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ kumuandikia mpenzi wake, Ali Kiba ‘King Kiba’ ujumbe mzuri ambao amedai umetoka kwenye sakafu ya moyo wake.

No comments:

Post a Comment