Polisi waenda kumpekua Tundu Lissu nyumbani kwake

Friday, July 21, 2017Polisi waenda kumpekua Tundu Lissu nyumbani kwake

Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema amesema baada ya Tundu Lissu kutolewa Kituo cha Polisi cha Kati leo mchana, amefikishwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali na kupimwa mkojo.Mapema asubuhi, mawakili akiwamo Fatma Karume walizuiliwa kuonana naye huku Jeshi la Polisi likisema litaendelea kumshikilia hadi uchunguzi utakapokamilika.Mbunge huyo wa Singida Mashariki amekamatwa...

No comments:

Post a Comment