Tundu Lissu Awaasa Wafuasi CHADEMA....."Hatuna wa Kumlilia, Ni Lazima Tupambane Wenyewe"

Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu amewataka wanachama na viongozi wa chama hicho kutumia vizuri fursa ya uchaguzi mdogo wa marudio uliopangwa kufanyika Agosti 12 mwaka huu kwa kupambana kiakili ili waweze kushinda chaguzi hiyo.
Read More

No comments:

Post a Comment