
Jeshi la Polisi limefanya uamuzi huo baada ya kufanya ukaguzi wa kushitukiza kwenye Kituo Kikuu cha Mabasi cha Ubungo.
Akizungumza kituoni hapo Mrakibu wa Jeshi la Polisi ambaye pia ni Mkuu wa Kitengo cha Elimu kwa Umma wa Kitengo cha Usalama Barabarani, Abel Swai amesema mabasi hayo hayataruhusiwa kuondoka mpaka yatengenezwe.
Ukaguzi huo uliofanywa katika kituo hicho ulibaini tatizo kubwa la mabasi yaliyositishiwa safari zake ni hitilafu katika mikono ya usukani ambapo yasipofanyiwa matengenezo yanaweza kusababisha ajali.
No comments:
Post a Comment