Haya sasa zile ishu za sitti mtemvu zimeshaisha , watanzania mmempata miss mliyemtaka….Sasa unaonaje na sisi tukaanzisha shindano la miss Bum Bum , maana naona miss Tanzania imetushinda kwani huko nchini Brazil hili shindano ni maarudu sana ambapo hutafuta mrembo mwenye makalio mazuri kuliko wote nchini Brazil.

Shindano hili ambalo lilianza na washiriki 22 sasa hivi limechuja washiriki wake na kubakia na washiriki 8 tu ambao ni hatarieee….Cheki hapa , je unadhani mshiriki gani aibuke mshindi?

The post Ushaisikia hii ya Miss Bum Bum ? appeared first on Vibe Magazine TZ Tanzania.
http://www.tanzaniatoday.co.tz/
Shindano hili ambalo lilianza na washiriki 22 sasa hivi limechuja washiriki wake na kubakia na washiriki 8 tu ambao ni hatarieee….Cheki hapa , je unadhani mshiriki gani aibuke mshindi?
The post Ushaisikia hii ya Miss Bum Bum ? appeared first on Vibe Magazine TZ Tanzania.
http://www.tanzaniatoday.co.tz/
No comments:
Post a Comment