ALIYEIPONZA MISS TZ APOKEWA KIFALME MORO



Stori Dustan Shekidele, Morogoro/Ijumaa

MSHIRIKI wa Shindano la Miss Tanzania mwaka 2014, aliyeshinda taji hilo katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam na baadaye kuthibitika kuwa alighushi umri na hivyo kulitema na kusababisha kufungiwa kwa shindano hilo, Sitti Mtemvu, juzikati alipokewa kama mfalme alipofanya ziara fupi mjini Morogoro.
Mshiriki wa Shindano la…

No comments:

Post a Comment