RAFIKI WA LULU ANASWA NA UNGA!


Mwandishi wetu

Jamaa ambaye inasemekana ni rafiki wa karibu wa staa mkubwa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ aitwaye Morris Sekwao ‘Junior’ inadaiwa amepata msala ‘hevi’ baada ya kutiwa mbaroni nchini Nigeria akituhumiwa kunaswa na madawa ya kulevya ‘unga’.Habari kutoka kwa mtu wa karibu wa familia ya Junior zilidai kuwa, jamaa huyo alipatwa na mkasa huo hivi karibuni nchini humo ambapo alikuwa akitokea Bongo na mzigo huo.
Morris Sekwao ‘Junior’ akiwa na sanduku la madawa ya kulevya aina ya Ephedrine alilokutwa nalo.
AKAMATWA…

No comments:

Post a Comment