Edward Lowassa Alalamikia Wafuasi wake Kuandamwa na Watendaji wa Serikali.

Aliyekua mgombea Urais wa Chadema anayeungwa mkono na vyama vinavyounda UKAWA Mh.Edward Lowassa amelalamikia baadhi ya watendaji wa serikali kwa kuwaandama na kuwatisha wananchi na wafanyabiashara waliokuwa wanaunga mkono vyama vya upinzani na amezitaka idara zinazohusika kuchukua hatua ili kuepusha  matatizo yasiyo ya lazima.   Akizungumza katika ibada maalum ya kukaribisha mwaka...
Read More

No comments:

Post a Comment