FUMANIZI LA MWALIMU


Stori: Dustan Shekidele, Morogoro

KATIKA hali ya kutisha, fumanizi lililoambatana na bonge moja la mtiti linadaiwa kujiri nyumbani kwa mwalimu ‘ticha’ wa Shule ya Msingi ya Mafisa ‘A’, iliyopo Manispaa ya Morogoro mjini hapa aliyefahamika kwa jina la Rosemary Mkoba kisha watu wakachomana visu.
Mume wa mtu, Raphael Bernard (33) aliyechomana visu na mwalimu baada ya fumanizi.
HABARI KAMILI

Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, msala…

No comments:

Post a Comment