KUMUONA MTOTO WA ZARI, MIL.20


AMA kweli Mbongo-Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Mama Kijacho, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, sasa ni wa kimataifa zaidi ambapo wakati mwanamama huyo akijiandaa kujifungua, tayari mtoto ajaye ameandaliwa chumba maalum cha kulala na gharama za kumuona kwa atakayehitaji picha hasa za kwenye vyombo vya habari, itakuwa si chini ya Sh. milioni 20.
Mbongo-Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Mama Kijacho, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’.
CHANZO KUTOKA WCB

Kwa mujibu wa…

MAHOJIANO YA WEMA SEPETU KWENYE KIPINDI CHA TAKE ONE


Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu 'Madam' akiwa katika pozi.
Host wa kipindi cha Take One, Zamaradi Mketema (kulia) akifanya mahojiano na Wema Sepetu.…

VITUKO UGHAIBUNI: JAMAA AZIGAWA MALI ZAKE NUSU KWA NUSU BAADA YA KUMWAGANA NA MKEWE


Baiskeli iliyokatwa na jamaa huyo.
Gari hili nalo lilikatwa katikati kwa ajili ya kumaliza mgogoro kati ya jamaa huyo na mkewe.
Video ya jamaa huyo akikata mali zake katikati.
NJEMBA mmmoja nchini Ujerumani amezua sintofahamu baada ya kuamua kugawa nusu kwa nusu kila mali…

DAYNA ANASWA KIMAHABA!


Imelda Mtema
PICHA za staa wa muziki wa Bongo Fleva, Mwanaisha Said ‘Dayna Nyange’ akiwa katika pozi la kimahaba zimenaswa.

Picha hizo zinazomuonesha akiwa katika ‘mabusu ya kiutuzima’ na mwanaume mmoja ambaye jina lake halikufahamika mara moja.
Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Mwanaisha Said ‘Dayna Nyange’.
Baada ya kunaswa kwa picha hizo, Amani lilimvutia waya Dayna ambapo alijitetea kuwa hajui picha hizo zimesambaaje japokuwa ni kweli alipiga akiwa na mchumba wake ambaye kwa sasa hayupo naye.
“Kuna kipindi…

BATULI ACHEZEA SHARUBU ZA KAJALA


Imelda Mtema

STAA wa filamu za Kibongo, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’ ameonekana kuchezea ‘sharubu’ za Kajala baada kuweka picha ya kiazi kwenye mtandao wake wa kijamii wa Instagram kitu ambacho kimeonekana ni kumkejeli staa mwenzake huyo kutokana na Wema Sepetu kumuita kiazi.
Staa wa filamu za Kibongo, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’.
Akichezesha taya na Amani baada ya kubanwa kwa nini aliweka picha hiyo kwenye Instagram yake, alisema kuwa yeye ana maamuzi ya kuweka kitu chochote kwenye ukurasa wake huo hivyo…

PETE YA UCHUMBA YA LULU YAWA GUMZO!


Mwandishi wetu

MSHTUKO! Mtoto mzuri Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amezua gumzo ukumbini baada ya kuonekana akiwa amevaa pete iliyoaminika kuwa ni ya uchumba na kusababisha minong’ono miongoni mwa mashabiki wake.
Mtoto mzuri Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’.
Mpango mzima ulijiri wikiendi iliyopita katika Ukumbi wa Sinema wa Mlimani City (Cinemax) kulipokuwa na uzinduzi wa sinema ya 10 Bora ya washiriki wa Shindano la Tanzania Movie Talent, mwaka jana ijulikanayo kama Mpango Mbaya.
Punde tu baada ya Lulu…

FAIZA: WATANZANIA NISAMEHENI JAMANI


Mzazi mwenzake na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ Faiza Ally.
Imelda Mtema

MZAZI mwenzake na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ Faiza Ally, hivi karibuni katika tuzo za KTMA aliwaacha watu midomo wazi baada ya kutinga na kivazi kilichoacha sehemu kubwa ya makalio yake nje na kuzua minong’ono katika mitandao ya kijamii.
Akizungumza na Amani kwa kuonekana kujutia kitendo kilichotokea, Faiza alisema kuwa ile nguo aliishona ikiwa imeziba sehemu yote ya nyuma japokuwa ilikuwa…

ODAMA AZIDI KUMFICHA BABA WA MTOTO!


Imelda Mtema
STAA anayejitambua ndani ya gemu la filamu Bongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amefungua kinywa chake kuwa watu wanaosubiri amnadi baba watoto wake watakuwa wamechelewa sana kwani hana mpango huo kwa sasa.
Staa anayejitambua ndani ya gemu la filamu Bongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’.
Akichonga na Amani Odama alisema, kila kitu katika maisha kina mpangilio wake hivyo wakati utakapofika atamtambulisha baba wa mtoto wake kwa kuwa yupo hivyo watu wapunguze haraka na wala yeye siyo msiri kama…

Lowassa kama “Lulu” Tanga, Mtwara na Lindi nako usipime

Lowassa_Lindi8


Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwapungia mkono mamia ya wana CCM na wananchi wa Manispaa ya Lindi, waliojitokeza kwenye ofisi za chama mkoani humo Juni 17, 2015. . Mheshimiwa Lowassa ambaye amechukua fomu kuomba chama kimteue kuwani urais wa Tanzania Oktoba 25, 2015, alijizolea wana CCM 3,279.




CCM_Lindi
Lowassa_Mwana CCM mtwara
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli Mh. Edward Lowassa, akisalimiana Mwana CCM huyu aliyejitokeza kumdhamini kwenye ofisi za CCM wilaya ya Mtwara mjini, Juni 17, 2015. . Mheshimiwa Lowassa ambaye amechukua fomu kuomba chama kimteue kuwani urais wa Tanzania Oktoba 25, 2015, alijizolea wana CCM 3,500.
Mtwara dua
Mwana CCM huyu wa mkoani Mtwara ambaye alikuwa miongoni mwa waliojitokeza kumdhamini Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiomba dua iliyokuwa ikiongozwa na kaimu kadhi wa mkoa huo, Sheikh, Kassim Kuneng’eneka, kumuombea Mh. Lowassa, baada ya kupata wadhamini kwenye ofisi za CCM wilaya ya Mtwara Juni 17, 2015. Mheshimiwa Lowassa alipata jumla ya wadhamini 3,500.
Lowassa tanga3

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli Mh. Edward Lowassa akipaya mapokezi ya WanaCCM Tanga.
MAMA SHANGWE
Lowassa tanga4
Wazee wa Tanga
Wazee wa Tanga wakimpigia Dua Mh. Lowassa.
Lowassa_Mwapachu
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akikumbatiana na Katibu Mkuu mstaafu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Balozi Juma Mwapachu, alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa mkoa wa Tanga Juni 17, 2015, kutafuta wadhamini baada ya kuchukua fomu za kuomba CCM imteue kuwania urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa ,kufanyika Oktoba 25, 2015. Mh. Lowassa ambaye awali alikuwa akitokea mikoa ya Mtwara na Lindi, alikozoa jumla ya wana CCM waliomdhamini 6,779, pale Tanga alivunja rekodi ya wadhamini baada ya kuwapata zaidi ya 24, 000. 9Picha zote na K-VIS MEDIA)
Lowassa_Mwapachu senior
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akisalimiana na Mzee Harith Bakari Mwapachu, alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa mkoa wa Tanga Juni 17, 2015, kutafuta wadhamini baada ya kuchukua fomu za kuomba CCM imteue kuwania urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa ,kufanyika Oktoba 25, 2015. Mh. Lowassa ambaye awali alikuwa akitokea mikoa ya Mtwara na Lindi, alikozoa jumla ya wana CCM waliomdhamini 6,779, pale Tanga alivunja rekodi ya wadhamini baada ya kuwapata zaidi ya 24, 000. (Picha zote na K-VIS MEDIA).

NISHA ASEMA HAWEZI KUMRUDIA NAY WA MITEGO

Gladness Mallya


MWANADADA anayefanya vizuri kwenye tasnia ya filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ ameibuka na kusema hawezi kumrudia aliyekuwa mpenzi wake, msanii Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’.

Salma Jabu ‘Nisha’.
Akizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki, Nisha alisema amelazimika kutoa ufafanuzi huo baada ya kuenea kwa uvumi kuwa ana mpango wa kurudiana naye, jambo alilosema haliwezekani kwani kwake hana tabia ya kula matapishi.
“Siwezi kurudiana na Nay, kwanza ana mwanamke mwingine na kuzaa naye japo wameachana, mwanzo nilimuogopa sana nikimuona, lakini hivi sasa nimeshamzoea, tumebaki kama kaka na dada, suala la mapenzi haliwezi kujirudia tena,” alisema.…

RAY: CHUCHU SI MPITA NJIA


Imelda Mtema

NYOTA mkubwa katika Bongo Movies,Vincet Kigosi ‘Ray’ ameweka wazi kuwa Chuchu Hans, ambaye ni mpenzi wake wa muda mrefu, si mpita njia, bali ni mwanamke anayesubiri ndoa kwa kuwa ana sifa zote za kuwa mke.
Nyota mkubwa katika Bongo Movies,Vincet Kigosi ‘Ray’ akiwa na mpenzi wake Chuchu Hans .
Kwa sababu hiyo, alisema siyo jambo zuri kufikiri kila anapotoka katika mitoko yake ya usiku awe naye kwa kuwa mke hafai kuwa mtu wa kuzunguka naye usiku kama hakuna ulazima wa kufanya naye hivyo.
“Kama hivi, mimi nimekuja hapa kwenye…

BABA ASAKWA UBAKAJI WA BINTIYE


Bw. Salum anayesakwa na polisi kwa tuhuma za kumbaka na kumpachika mimba binti yake wa kambo.
Waandishi wetu

MUNGU wangu! Mwanaume mmoja mkazi wa Mwenge jijini Dar es Salaam aliyefahamika kwa jina moja la Salum, anasakwa na polisi kwa tuhuma za kumbaka na kumpa ujauzito bintiye wa kambo (jina limehifadhiwa).
Binti anayedaiwa…

WEMA SEPETU ATANGAZA NIA, KUWANIA UBUNGE WA VITI MAALUM SINGIDA


Wema Sepetu akiwa na mama yake mzazi mkoani Singida.
STAA wa filamu nchini ambaye pia ni Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ ametangaza nia ya kuwania nafasi ya Ubunge wa Viti Maalum kupitia CCM mkoani Singida.

Wema tayari ametua mkoani Singida akiambatana na mama yake kwa ajili ya zoezi hilo ambapo amepokelewa kwa shangwe na mashabiki…

WEMA, JOKATE WAMZOMEA DIAMOND!


Musa Mateja

KAMA mbwai na iwe mbwai tu! Hiyo ndiyo kauli pekee iliyoweza kuakisi kitendo cha warembo, Wema Sepetu ‘Madam’ na Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ kuamua kumzomea zilipendwa wao, Nasibu Abdul ‘Diamond’ baada ya kuzidiwa tuzo na hasimu wake, Ali Kiba, Risasi Mchanganyiko lina full stori.
Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ akicheka baada Ali Kiba kuchukua tuzo ya nne kwenye Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
ENEO LA TUKIO

Tukio hilo lililojidhihirisha laivu ni la chuki lilijiri wikiendi iliyopita kwenye Ukumbi wa…